sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

126
sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

218
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

37
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
26
sw.cartoon

Kanisa Lililokufa La Ujerumani Huwekwa Hai Na Ushuru Wa Kanisa Kutoka Kwa Serikali - Kadinali Müller Akizungumza Na Kadinali Marx.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsXfvzcwkoqw

116
sw.news

Marekebisho Ya Liturujia? Anza Kwa Kumtizama Mungu

Sadaka ya Misa na kila mtu akimtizamia Mungu itasaidia sana "kuonyesha kuwa Misa si tukio la kijamii kati ya makuhani na wnaparokia , ama wanaparokia wenyewe", Kardinali Raymond Burke alisema katika mahojiano na The Wanderer (Agosti 21).
Kulingana na Kardinali, mageuzi mengine yanahitaji kutendeka kuhusiana na utendekaji wa Kanisa, "Mahali kwingi madhabau yametolewa kutoka mahali patakatifu pa Kanisa kama matokeo ya tafsiri za uongo za Baraza ya pili ya Vatikani."
"Namna ya kupokea Ushirika Takatifu mtu akiwa amepiga goti moja na katika ulimi ni mahali muhimu pa kuanzia", Kardinali aliongeza.
Picha: Raymond Burke, © Saint Joseph, Flickr, CC BY-NC-ND, #newsZstbbaupxu

70
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
12
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
115
sw.cartoon

Kadinali Marx Alitoa Dokezo la Kubariki Ndoa Bandia za Mashoga "Hatua kwa Hatua"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsVrtmkgfnbg

76
sw.news

Papa Francis Atali

Jina la Taasisi ya Upapa ya John Paul II ya Masomo ya Ndoa na Familia ( Pontifical John Paul II Institute for Studies on Marriage and Family) iliyo nchini Roma, haitaendelea kuitwa jina la Papa aliyeianzisha, ila itaitwa "Taasisi ya Masomo Ya Familia" ( “Institute of Studies on the Family”). Pia, Taasisi hiyo itapoteza uhuru wake na kuunganishwa na Chuo Kikuu cha Upapa cha Lateran.
Kulingana na Sandro Magister hili litawezesha marekebisho katika bodi ya maprofesa, ambao kulingana na mwendo ulioko hivi sasa katika Vatikani, wana imani sana na John Paul II na ni wenye umakinifu mwingi katika masuala ya nakala ya Amoris Laetitia.
Taasisi hiyo ina matawi mengi kote duniani. Inasubiriwa kuonekana kitakachofanyikia matawi hayo.
#newsWqnarzkrgk

85
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

157
Denis Efimov

Así es.

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
16
sw.cartoon

“Gaudete et Exsultate” Ya Francis Haina Chochote Ambacho Tayari Hajakisema Au Kukiandika.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsSqznercwtq

359
sw.news

Maswali Tano Kwa Müller - Kunaye Aliye Na Uongo

Mnamo siku ya Jumatatu, mtandao wa onepeterfive.com ulidai kuwa Papa Francis alimuuliza Kadinali Müller maswali tano kabla yake kumfuta kazi.
Hivi sasa, Greg Burke, mkurugenzi wa Ofisi ya Habari ya Vatikani, alisistiza kupitia kwa barua pepe mbili kuwa habari hizo ni "zenye uongo". Katibu wa Müller alikana kuwepo kwa maswali kama hayo huku akidai kuwa ripoti hiyo "inamsababishia madhara" Kadinali huyo.
Hata hivyo, mtandao wa onepeterfive.com na aliyewapatia habari hiyo wanasisitiza kuwa habari yao ni yenye ukweli.
Picha: © Ryan Milani, CC BY, #newsVipqmubzmd

87
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
25
noi_cattolici

Dr. Barbara Balanzoni

20:00
69